Burudani

Zuku Tv yafunguliwa rasmi Tanzania

zuru_tv_tmk

Kundi la muziki wa kizazi kipya la Tmk wanaume famili wakiongozwa na Chege na Temba, wakifanya show kama wasanii wa kwanza katika uzinduzi wa Zuku Tv, ambayo inapatika kana kwa mtindo wa Satelaiti, huku ikionyesha stesheni mbalimbali na matukio mbalimbali.. Katika Show hiyo ilipamba na wasanii mbalimbali wakiwemo wa Bongo Movie na Bongo Fleva, ambayo ilifanyika jana katika Hoteli ya  Golden Tulip

 

zuru_tv_dokii

Dokii akifuatilia tamasha linavyokwenda

zuru_tv_fella

Saidi Fella akifuatilia tamasha wakati Tmk Wanaume wakiwa jukwaani

zuru_tv_kibonde

Kibonde alipokutana na Fid Q katika uzinduzi

 zuru_tv_monalisa_na_mama_yake_na_Danny

 Benny wa ZIFF, monalisa na Natasha katika pozi

Zuru_tv_q_chilla

zuru_tv_wakina_dada

zuru_tv_wapambe

zuru_tv_tmk2

Mtk wakikata mapanga jukwaani, kwa ile staili ambayo ilizuzua sana mashabiki wa muziki wa kizazi kipya, hasa wale wanaopenda kucheza staili za kibabe.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents