Michezo
Zola D, kupambana na Kiza kinene
Mwanamuzik na mwigizaji, muigizaji na mchezo MixFigher nchini ‘Boxer’ David Mlope, Zola D anataraji kupanda ulingoni hivi karibuni kumenyena na mpinzani wake wa muda mrefu Kiza kinene.
Amesema katika pambano hilo haitaji kufanya makosa, kwani anaamini uwezo wake ni mkubwa kuliko hata Kiza kinene.