Habari
Ziara ya kushtukiza ya Rais Magufuli bandarini yabaini mapya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli jana alifanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa madini kwenda nje ya nchi.
Rais Magufuli amefanya ziara hiyo Alhamisi hii.
Hii ni taarifa yake:
Na Emmy Mwaipopo