Burudani

Zari the Bosslady ni mwendo wa helikopta tu Kenya (Picha)

Wakati ambapo Diamond Platnumz aliitumia siku yake ya Jumapili kuonesha baadhi ya utajiri wake, baby wake Zari the Bosslady alikuwa jijini Nairobi akiishi makubwa!

13704_10206583985223308_4831841932979185065_n
Zari akiwa kwenye helikopta pamoja na Juliana Kanyomozi?

Weekend hii Mrs Chibu alikuwa Nairobi ambapo aliungana na bosslady mwenzake, Huddah Monroe kwenye party ya Art of Luxury iliyofanyika Skylux Lounge.

10615534_10206583984783297_3104065119549375801_n

Baada ya party hiyo, Zari alikodi chopper kuzunguka katika maeneo kadhaa ya Kenya ikiwemo Naivasha.

14599_10206583986023328_8257412039903969925_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents