Burudani
Young D kuchuana na Suma lee
Mwanamuziki Young D anatarajia kufanya tamasha katika ukumbi wa Bilicanas katika jumapili hii. mwanamuziki huyo atakuwa sambamba na mwanamuziki toka Tanga Suma lee katika tamsha hilo.
Young D anatarajia kuimba nyimbo zake kama Teacher, Mzuka, Young D na nyimbo yake ambayo imekuwa ikikamatia katika nafasi za juu Tunapeta.
Wakati Suma lee ataachia Chungwa, Hesabu za mapenzi,na wimbo wake mpya wa Hakunaga
Suma lee