Habari
Wycleif Jean kufanya collabo na Shaa na wasanii wa Coke Studio Africa
Muimbaji wa muziki na kiongozi wa kundi la zamani la Fugees, Wycleif Jean ametua jijini Nairobi, Kenya kwa mradi wa Coke Studio Africa.
Msanii huyo kutoka Haiti atarekodi wimbo na wasanii mbalimbali wa Afrika akiwemo Shaa kama sehemu ya kipindi hicho.
Shaa ameshare picha akiwa na Wycleif na kusema ndoto yake imetimia.
“Wyclef…Dreams do come true…. #GodisGreat #ComingSoon”