Burudani
Weusi kujitambulisha rasmi Maisha Club
Kundi la muziki la kizazi kipya Weusi ‘Good Music Family’ kutoka Arusha linatarajiwa kuzinduliwa rasmi leo Maisha club. Msemaji wa kundi hilo Nicki wa pili’ amesema pia utafanyika uzinduzi wa
video mpya ya Joh Makini ‘Bye bye’, na kutambulisha fulana zao, na kutoa stori fupi ya kundi hilo lenye muunganiko wa makundi mawili Liver Camp Solders na N2N Army.