Burudani

Wema Sepetu akanusha tetesi za kutoka kwa ujauzito wake kwa post hii

Mashabiki wa Wema Sepetu waliingiwa na hofu kali baada ya mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown kuandika post yenye utata.

12728576_231464240521597_1773570466_n

“Pole Dada @wemasepetu mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki kigumu, akupe moyo wa uvumilivu pia ili utoke hospitali ukiwa salama inshaallah, kazi Yake Mola haina makosa #INASEMEKANAETI,” aliandika Soudy kwenye Instagram.

Wengi walitafsiri post hiyo kuwa huenda ujauzito wa Wema ukawa umetoka. Wengine walienda mbali zaidi hadi kutengeneza chat za Whatsapp kukuza zaidi kama hiyo chini.

12446186_233572536975735_252640655_n

Hata hivyo inaonekana kuwa hakuna ukweli wowote. Wema amepost picha kwenye Instagram akiwa mwenye furaha na kuandika: It all began with a smile…”

Comments zote za mashabiki wake zinaonekana kujikita kwenye tetesi hizo.

“@wemasepetu my lv,pliiiiizzz stop kuonesha mimba yako in public for sometyms now wala mtu yoyote kushika tumbo lako,km siyo yo family members and baba k pliiiiiiizzzz,coz ushaona how people wish mimba yako iharibike au kitokee kitu kibaya kwenye mimba yako na kweli wamefurai as you see,pliz stop it kama unapenda kuitwa mama for real,yup waweza ukawa wawish for everyone to see yo preg as umesuffer alot kuipata,that is to prove pplo wrong kwamba hata wewe umeshika mimba and its de first tym,I know wat yu fil,ila tunaokupenda tuna wish ujifungue salama mdA ukifika..pliz pumzika mama for now mimba haiitaji stresses na hiyo ndo kitu naona maadui zako wanajaribu kufanya,to stress u,pliiiiiiizz @idrissultan take Care of the baby,kip wema out of negativity,#we in pressure now#minb,” ameandika shabiki mmoja.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents