Habari

Waziri Nape atuma salamu za rambirambi kwa familia ya mchezaji wa Mbao FC

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, Jumatatu hii ametoa salamu za rambirambi kwa wanafamilia Wa Ismail Khalfan mchezaji wa Mbao FC chini ya umri wa miaka 20, ambaye alipoteza maisha katika mchezo wa mwisho wa round ya 7 kundi A kituo cha Kaitaba, Bukoba.

mchezaji

Ismail Khalfan ambaye alikuwa anavaa jezi namba 4 katika mashindano hayo, ndiye aliyefunga goli la kwanza la Mbao FC dhidi ya Mwadui FC katika ushindi wa magoli 2-0.

Hii ni taarifa kutoka wizara ya habari na michezo:

nape

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents