Burudani
Wasanii wauziwa viwanja feki
Pichani wasanii mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari na watu wengine wakimimika hivi karibuni kwenda kuviona hivyo viwanja vyao vinavyodaiwa kuwa ni “FEKI”!
Angalia video hapa chini kupata ufafanuzi zaidi kuhusiana na sakata hilo ambalo limewashtua wengi hapa jijini Dar na kwingineko.
{youtube}ZMRds_lriCE{/youtube}