Diamond Platnumz

Wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo za Channel O watajwa

Kituo cha runinga cha Channel O kimetangaza majina ya wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo za Channel O, #CHOAMVA14.

CHOAMVA-FEVER-620x346

Tuzo hizo zitafanyika kwenye ukumbi wa Nasrec Expo Centrem, Soweto nchini Afrika Kusini, Jumamosi ya November 29.

Wasanii watakaotumbuiza ni pamoja na Davido, Cassper Nyovest, K.O, AKA, Kwesta, Patoranking, Bucie, Riky Rick, Olamide na DJ Dimplez.

Diamond anawania vipengele vinne kwenye tuzo hizo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents