Burudani
Wasafi kufunika Bili
mwanamuziki kutoka kundi la Wasafi, Daimond, akiwa na Shetter pamoja na Hemedi Selemen ‘Phd’ wanatarajia kufanya bonge la tamasha katika usiku wa jumapili, katika ukumbi wa Bilicanas wakiwa kama kundi jipya la Wasafi