Michezo

Wanasoka 10 wenye mvuto zaidi duniani

Hii ni orodha ya wanasoka 10 wenye mvuto zaidi duniani kwa mujibu wa mtandao wa www.sokkaa.com. Orodha imepewa jina ‘Most Handsome Footballers in the World’

10. Mats Hummels-Borussi Drtmund

Dienstag 16.07.2013, 1. Fussball - Bundesliga, Saison 13/14 - Der BVB im Trainingslager in Bad Ragaz / Schweiz, BV Borussia Dortmund, Mats Julian Hummels (BVB) Foto: DeFodi.de +++ Copyright Vermerk DeFodi.de -- DeFodi Ltd. & Co. KG, Wellinghofer Str. 117, D- 44263 D o r t m u n d, sport@defodi.de, Tel 0231-700 500 44, Fax 0231-700 54 90, C o m m e r z b a n k D o r t m u n d, Kto: 36 11 76 100, BLZ: 440 400 37 // BIC COBADEFF440 // IBAN: DE74 4404 0037 0361 1761 00 // Steuer-Nr.: 315/5803/1864 , USt-IdNr.: DE814907547 - 7% MwSt.
Ni mchezaji wa kijerumani anayechezea klabu ya Dortimnd ambaye ni nahodha wa kikosi hicho

9. Gerrard Piqué–FC Barcelona
Gerad Pique
Gerrard Pique anakamata nafasi ya tisa kwenye orodha ya wachezaji wa mpira wenye mvuto zaidi

8. Cesc Fabregas -Chelsea
Cesc Fabregas
Fabregas pia ni mwanaume mwenye mvuto na anashika namba nane kwenye orodha hii

7. Mario Gotze-Bayern Munich
Mario Gotze
Ni kiungo wa klabu ya Bayern Munich ambaye alipata heshima kubwa katika michuano ya kombe la dunia mwaka 2014 dhidi ya Argentina kwa kuifungia nchini yake Ujerumani goli peke la ushindi

6. Fernando Torres-Atletico Madrid
Former Atletico Madrid soccer player and new Liverpool FC signing, Fernando Torres, arrives for a press conference at the Vicente Calderon stadium, in Madrid, Wednesday, July 4, 2007. (AP Photo/Daniel Ochoa de Olza)
Fernando Tores a.k.a ‘El Nino’ ameshika nafasi 6 ni mchezaji ambaye huwavutia sana watoto wa kike kwa style ya nywele na umbo la mwili.

5. Van Persie-Fenerbahce S.K.
2A731F3100000578-0-image-m-6_1436639815470
Robin van Persie ameshika nafasi ya 5 hivi sasa anakipiga katika klabu ya Fenerbahce S.K.

4. Iker Casillas–FC Porto
Casillas1
Iker Casillas ni miongoni mwa golikipa pekee katika list hii

3. David Villa–New York City FC
David-Villa
David Villa amengia kwenye orodha ya wachezaji wenye mvuto pamoja na style nzuri ya nywele zake.

2.Kaka–Orlando City FC
kaka2
Ricardo Kaka anashika nafasi ya pili kwenye orodha hii

1.Cristiano Ronaldo-Real Madrid
Ronaldo15
Mchezaji wa mpira wa miguu mwenye mvuto zaidi duniani Cristiano Ronaldo wa klabu ya Real Madrid. Mvuto wa sura, style ya nywele na umbo zuri ni baadhi ya vitu vinavyowachanganya watoto wa kike

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents