Habari

Wanasayansi wagundua mifupa ya mnyama mkubwa zaidi ya dinosaur aliyeishi Rukwa

Wanasayansi wanaochunguza viumbe vilivyoishi zamani (Paleontologists), kutoka chuo kikuu cha Ohio nchini Marekani, wamegundua mnyama mkubwa zaidi kuliko dinosaur aitwaye Rukwatitan bisepultus, aliyekuwa na miguu ya mbele yenye urefu wa futi 6 1/2 na ambaye uzito wake ukadiriwa kuwa zaidi ya tembo kadhaa.

la-sci-sn-titanosaur-tanzania-species-cliff-af-001

Ugunduzi huo uliofafanuliwa kwenye jarida la Vertebrate Paleontology umesaidia kupatikana kwa uhakika wa uwepo wa mabaki ya ‘titanosaur’ barani Afrika ambako wanyama wakubwa aina ya ‘sauropods’ hawakuwa wengi.

Mabaki ya Rukwatitan bisepultus ambayo ni pamoja na mbavu, miguu na mifupa ya kiunoni, ilipatikana kwenye bonde la ziwa Rukwa. Mnyama huyo aina ya ‘titanosaurian sauropod’ alikufa takriban miaka 100 iliyopita.

Wanyama hao wakubwa wanafahamika kwa shingo zao ndefu.

la-sci-sn-titanosaur-tanzania-africa-dinosaur--005
Wanasayansi wakiwa kwenye bonde la ziwa Rukwa walipogundua mabaki ya mnyama huyo

la-sci-sn-titanosaur-tanzania-africa-dinosaur--006

la-sci-sn-titanosaur-tanzania-africa-dinosaur--002

la-sci-sn-titanosaur-tanzania-africa-dinosaur--004

Soma zaidi habari hiyo hapa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents