Burudani
Waje na Tiwa Savage kuachia ngoma ya pamoja ‘Onye’
Hebu fikiria waimbaji wawili wa kike wanaopendwa zaidi nchini Nigeria wakifanya ngoma moja!! Waje ataachia ngoma iitwayo ‘Onye’ akimshirikisha Tiwa Savage hivi karibuni.
Tazama video zao hapo chini na kisha ‘imagine’ ukiwasikia wote kwenye wimbo mmoja.