Video/Picha:Jerry Silaa awatembelea wafanyabiashara wa soko la Karume lililo teketea kwa moto
Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa amewatembelea wafanyabishara wa soko la mitumba la Karume jijini Dar es salaam, ambao wamepata hasara kubwa baada ya kuibuka kwa moto hapo jana na kuteketeza mali zao.
Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa atembea soko la Karume
Kupitia instagram Jerry Silaa amesema:Mwenyekiti wa soko ameeleza kilio chao cha kutoondolewa Mchikichini, msimamo wa Halmashauri ni kuwaacha wafanyabiashara hawa waendelee kutafuta riziki halali.
Mmoja kati ya waathirika wa janga hilo anayotambulika kwa jina ‘Juma’ aliweza kuzungumza na bongo5 na kusema chochote kitu kuhusu tukio hilo.Pazama video
Baadhi ya wafanyabiashara wakianza ujenzi
Vijana wakijaribu kuokoa baadhi ya vitu
Vijana wakijaribu kuokoa baadhi ya vitu