Michezo
Video: Samatta alivyoiongoza KRC Genk kuiua Kortrijk kwenye ligi kuu ya Ubelgiji
Jumanne hii timu ya KRC Genk anayochezea Mbwana Samatta ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Ubelgiji maarufu kama Jupiler League waliocheza na Kortrijk. Tazama magoli hayo hapa chini.
https://youtu.be/4n8JDILqkp8
Mabao hayo ya Genk yalifungwa na Schrijvers dakika ya 4, Samatta dakika ya 42 na Pozuelo dakika ya 68.