Burudani

Video: Mahojiano ya Diamond na Yemi Alade katika Coke Studio Africa

Diamond Platnumz na mwimbaji wa hit single ‘Johny’, Yemi Alade kutoka Nigeria jana (September 10) walifanyiwa mahojiano katika msimu wa pili wa Coke Studio jijini Nairobi na kujibu maswali mbalimbali yanayohusu muziki na maisha yao kwa ujumla. Kama hukupata bahati ya kutazama ‘live stream,’ tazama hapa mahojiano hayo.

http://youtu.be/iQRWDFYL9gI

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents