Burudani
Video: Ja Rule alivyomtandika shabiki kofi baada ya kurushiwa kopo la bia
Rapper Ja Rule alijikuta anasimamisha show yake iliyofanyika huko Atlantic City, Marekani baada ya shabiki aliyerusha kopo la bia kumgonga kichwani wakati akifanya show. Baada ya kufanyiwa hivyo alianza kumtafuta mtu aliyefanya hivyo.
Rapper huyo alitangaza dau la dola 1000 kwa mtu ambaye angemuonyesha shabiki aliyerusha kopo hilo. Mtandao wa TMZ ulipata clip ya tukio zima. Itazame hapo chini.
https://youtu.be/HdcigsvE-Nw