Burudani
Video: Fat Joe, Remy Ma na French Montana wakiimba live
Wagombanao ndiyo wapatanao.
Miaka kadhaa nyuma Fat Joe na Remy Ma walikuwa na bifu zito lakini kwa sasa wameungana na kutengeneza wimbo wa ‘All The Way Up’ waliomshirikisha French Montana.
Watatu hao walionekana jukwaani kwa mara ya kwanza wakiwa pamoja kwenye show ya The Real wakiimba wimbo huo.
Watazame hapo chini.
https://youtu.be/E07SKXMgCfM