Burudani
Video: Damian Soul akiongelea safari yake kimuziki
Diamond Soul ni mmoja wa wasanii wa rnb na soul wanaofanya vizuri kwa sasa nchini. Tayari ameshatoa ngoma kadhaa kali zikiwemo Ni Penzi na Baraka ambazo zote amemshirikisha Joh Makini. Mfahamu zaidi kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye hivi karibuni.