Burudani

Video: Chid Benz na Raymond nani mkali wa kufreestyle?

Chid Benz anafahamika zaidi kwa freestyle kali hali iliyopelekea watu kumpa jina la King of freestyle lakini pia watu wengi walikuwa hawafahamu uwezo wa Raymond kwenye kufreestyle lakini kwa sasa wameweza kuutambua kwa kuwa kabla ya kumfahamu akiwa na WCB, msanii huyo alikuwa anarap.

IMG-20160712-WA0045

Wasanii hao walishindana kwa freestyle walipoenda kwenye studio za Clouds FM walipoenda kutambulisha wimbo wa ‘Chuma’ wa Chid Benz aliomshirikisha Raymond. Check video nani zaidi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents