Habari
Vibanda vyaungua Soko la Karume
Usiku wa jumamosi kuamkia juma pili ya Mai 8, soko la nguo za mitumba maarufu kama Karume liliungua moto na kuteketeza vibanda vya wamanjinga takribani 60, na kupoteza mali nyingi zilizokuwa zikiifadhiwa humo.
Inasemekana hitilafu ya umeme ndiyo sababu kubwa ya ajali hiyo ya moto, ambayo iliibuka mida inayokadiriwa ni saa sita usiku na kuzimwa saa nane za usiku huo nhuo.
Miongoni mwa vitu ambavyo vimeungua ni Cherehani, nguo za wateja na madaftari madeni na ya wauzaji ambayo walukuwa wakiwadai wateja zao, na nguo mbalimbali za mitumba.