Kanda Bongoman ni moja ya majina ya wasanii yaliyovuma sana na kufanya vizuri hasa katika maeneo ya Afrika Mashariki na kati. Alitamba na ngoma zake ukiwemo ‘Muchana’. Hivi karibuni alipata nafasi ya kuongea na Salim Kikeke wa BBC Swahili na kusema anakuja na album yake mpya anayoirekodia nchini Afrika Kusini.
http://youtu.be/DdOp7nEesJs