Burudani
Ujumbe exclusive wa Chege kwa Mafans
Bongo 5 imepokea ujumbe mahususi kwa mafans wa Chege moja kwa moja kutoka kwa star huyo, kama Ifuatavyo:
‘Kwa wale wapenzi wa Muziki wangu, wanaotupa support bila kuchoka, ningependa mfahamu kwamba, Kwa sasa nipo pande za Nairobi na wanangu wagenge,tunapiga video mpya ya ngoma inayoitwa ‘Kila Moja’ ya Nonini ft Lady bee na mimi mchizi wenu Chege.
Ni bonge moja la colabo mazee…hapa hapa B5 mzigo utashuka mtaweza kuusikia.
Kila La Kheri Chege..Bongo Flavour inazidi kupaa.