Burudani

Twitter ya John Legend yatumika kumtusi Trump, aomba radhi, kumbe ilidukuliwa

Kumbe sio bongo tu hata mbele wizi wa mitandao ya kijamii ya mastaa upo! Ijumaa hii John Legend alikiona cha moto baada ya akaunti yake ya Twitter kuibiwa na kuanza kutumika vibaya ikiwemo kumtukana Rais Donald Trump.

Moja kati ya ujumbe uliopostiwa kwenye akaunti hiyo wakati imechukuliwa uliandikwa, “I can’t stand by and be silent . @reakDonaldTrump you’re a bi*ch ass nigga and if I see you, I’m stopping your shit you Fu*kin cheetah.”

Lakini hatimaye muimbaji huyo amefanikiwa kuikomboa akaunti yake na kuamua kuomba radhi kutokana na kile kilichofanyiaka. John kupitia mtandao huo ameandika:

Someone just hacked my account. I’m back. My hacker was vulgar and kinda hilarious. I’ll try to be funnier from now on so he won’t feel the need to ghost write for me. I would never threaten violence to the President. No matter how much I wish he would go away. I wouldn’t call him a Cheeto because I enjoy Cheetos. I did call him Liar-In-Chief. Then my hacker took over to do the Angrier John version of it all. My hacker’s assessment of my endowment was confusing. Big in the tweet about Hillary. Small in the bio. Make up your mind, hacker.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents