Twanga wala sahani moja na Waandishi
Bendi ya Muziki ya Africans Stars wanawa kutwanga na kupepeta, juzi wamefanya vizuri katika sherehe za tamasha la Bonza la Waandishi wa habari lililofanyika katika ufukwe kwa Cine Club jijini Dar es salaa, ilikuwajumuisha waandishi wote kwa pamoja na kuwafanya wajisikie amani.
Bendi hiyo iliweza kujumuika na waandishi hao katika maongezi, msosi na hata buludani ambayo waliitoa waliomba waandishi kuwa nao pamoja.
Mamaa Luiza Mbutu, akipata maakuli kabla ya kuingia stejini
Mnenguaji wa kiume katika bendi hiyo ya Twanga, akiwa kwenye pozi akisubiri muda wa kuachia mambo yake
Hapa wanenguaji wakiwa na baadhi ya waandishi wakiingia sehemu ya msosi, kwaajiri ya kupata chakula kwa muda huo wakati bonanza likiendelea.
Hapa masuala ya msosi, kwani kila mmoja alikuja ili kuweza kujiongeazea nguvu na tamasha liweze kwenda kama inavyotakiwa.
Mwimbaji wa twanga, akiwa na mnenguaji wa bendi hiyo wakibadilishana mawazo kidogo.
Hapa sijui jamaa alikuwa akiwaeleza nini, maana kila mmoja alikuwa na lake kwa siku hiyo