Burudani
Trace TV yawapa shavu wasanii wa Afrika Mashariki
Hatimaye wasanii wa Afrika Mashariki wamepata shavu kwenye kituo cha runinga cha Trace baada ya kituo hiko kuanzisha channel mpya ya Trace Mziki ambayo kwa asilimia kubwa itakuwa ikiwahusisha wasanii hao.
Channel hiyo mpya inatarajiwa kuanza kuruka rasmi kuanzia Septemba 1, mwaka huu. Itapatika kwenye DSTV, channel 323.