Burudani
Time Magazine: Beyonce, Pharrell, Miley Cyrus watajwa kwenye orodha ya watu 100 wenye ushawishi
Beyonce Knowles amekava jarida la Time la watu 100 wenye ushawishi zaidi duniani. Katika orodha hiyo wasanii waliotajwa ni pamoja na yeye mwenyewe, Pharrell Williams na Miley Cyrus. Kwenye upande wa filamu wapo Kerry Washington, Steve McQueen, Keegan-Michael Key na Jordan Peele, Matthew McConaughey, Yao Chen na wengine.