Habari
The Session: Interview na producer wa ‘Number 1’ Sheddy Clever (Video)
The Session wiki hii imezungumza na producer wa hit ya Diamond Platnumz, Number 1, Sheddy Clever. Kwenye interview hii Sheddy anaongea safari yake ilivyokuwa ngumu mpaka hapo alipofika na jinsi ambavyo alijikuta akitaka kukata tamaa baada ya kutengeneza nyimbo 5 za Rich Mavoko ambazo zote hakuziachia redioni. Akiwa na umri mdogo, tayari Sheddy ameshakuwa nominated kuwania tuzo za KTMA kama producer bora anayechipukia.
http://www.youtube.com/watch?v=pswdNUdOfC4
Anazungumzia pia jinsi ilivyomchukua muda kufanya ngoma na Diamond Platnumz.