Burudani

Tekno alilipwa shilingi bilioni 8.8 kusaini na Sony Music (Video)

Tekno ndiye mwanamuziki ghali zaidi Afrika kwa sasa.

Ili kusaini mkataba wake na Sony Music, hitmaker huyo wa Pana, amelipwa dola milioni 4, ambazo ni takriban shilingi bilioni 8.8 za Tanzania.

Hicho ni kiasi kikubwa zaidi kuwahi kupewa msanii wa Afrika kwenye record label deal. Taarifa za Tekno kuchukua mkwanja huo, zimetolewa na promota wake, Paul O wa kampuni ya Upfront & Personal kama anavyosikika akieleza kwenye video hiyo.

Umaarufu wa Tekno uliongezeka maradufu mwaka jana kufuatia mafanikio ya wimbo wake Pana.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents