Promotion
Tecno Boom J7 ni simu kiboko kwa kuchukua picha kali zenye quality
Kama wewe ni mpenzi wa mitandao ya kijamii hususan Facebook na Instagram, bila shaka utapenda kupost picha zako zikiwa na ubora na zinazovutia.
Bahati mbaya sio simu zote zenye uwezo wa kukupa picha kali. Tecno Boom J7 ni kiboko yao. Ni simu kali yenye kukupa picha za kuvutia lakini inayouzwa kwa bei nafuu kabisa. Kwa shilingi 250,000 unajipatia simu yako.
Pata likes nyingi kwa picha za Boom J7.
Unaweza pia kujishindia Boom J7 mpya kwa kufollow ukurasa wa Instagram wa Tecno Mobile Tanzania. Ni rahisi sana. Bofya hapa na uende kufollow ukurasa wa Instagram wa Tecno Mobile Tanzania unaweza kuwa mmoja wa watu watakaoshinda.
Kwa taarifa zaidi like ukurasa wa Facebook wa Tecno Mobile Tanzania hapa.