Diamond Platnumz
Tazama picha ambazo hujaziona kutoka kwenye show ya Diamond, Rwanda
Diamond Platnumz amefanikiwa kupiga show ya kufa mtu jijini Kigali katika siku ya mwaka mpya, January 1. Diamond alitumbuiza na live band na alipewa support na muimbaji wa Yamoto Band, Aslay.
Kwenye show hiyo, Diamond alisindikizwa na wasanii wakubwa wa huko wakiwemo King James, Urban Boyz, Jay Polly na Knowles. Hizi ni picha za show hiyo iliyohudhuriwa na watu kibao.
Msanii wa Rwanda, Knowles
Chanzo: http://www.igihe.com