Burudani

Taylor Swift aweka nyimbo zake zote kwenye mtandao alionunua Jay Z

Taylor Swift anarejea tena kwenye biashara ya kustream muziki wake baada ya mwaka jana kujitoa Spotify.

taylor-swift_press-2013-650

Tidal ulikuwa mtandao wa kustream muziki wa Norway ambao ulikuwa haujulikani hadi pale Jay Z alipoununua pamoja na kampuni yake mama, Aspiro mwezi January.

Mtandao huo utatoa huduma ya kustream zaidi ya nyimbo milioni 25 zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama ya dola 20 kwa mwezi.

Nyimbo za Swift zitapatikana kwenye mtandao huo japokuwa zipo pia kwenye Beats Music na Rhapsody.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents