Burudani

Tanesco wataja kiasi wanachomdai Wema Sepetu kufuatia kuiba umeme!

Tanesco wako shingoni kwa Wema Sepetu!

12357642_109000819472059_1048138282_n

Hivi karibuni walifanya ziara ya kushtukiza kwenye nyumba yake na kubaini kuwa muigizaji huyo anatumia umeme wao bure!

Jana Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Eng. Felichesmi Mramba alizungumza na waandishi wa habari na kutaja kiasi cha fedha kitakachopatikana kutokana na faini waliyowapiga wezi mbalimbali wa umeme.

20151219011221

Imebainika kuwa Wema Sepetu anadaiwa shilingi 8,200,496.20.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents