Habari
Taasisi ya Saratani ya Ocean Road yaanda matembezi ya hisani Oct 12
Taasisi ya saratani Ocean Road na Kunduchi Beach Resort wameandaa matembezi ya hisani kwaajili ya saratani ya matiti Jumapili 12/10/14 saa 1.30 hadi saa 5 asubuhi.
Matembezi yataanzia na kumalizikia Kunduchi Beach Resort. Mgeni rasmi ni mke wa rais, Mama Malma Kikwete. Kushiriki ni bure. tujitokeze kwa wingi kuunga mkono mapambano dhidi ya saratani ya matiti. Tshirts zinapatikana kwa shilingi 15,000 Mlimani City, Shoppers Plaza na Raha Towers.
Pia unaweza kuchangia kwa Tigopesa 0659 534299, -M-Pesa 175555, na Airtel 0686 679325. Kutakuwa na uchunguzi wa bure wa saratani ya matiti.