Burudani

T.I. awawakia wanaomwambia kuja Tanzania kutampa Ebola!

Mfalme wa Kusini, T.I. amemind. Tangia weekend iliyoishia alipokuwa akipost picha za ujio wake nchini Tanzania, baadhi ya followers wake wajinga wa Marekani wamekuwa wakimkejeli kuwa anaweza kurudi Marekani akiwa ameambukizwa ugonjwa wa Ebola.

T.I
T.I. akitumbuiza kwenye Fiesta, Dar es Salaam

Katika kuthibitisha kuwa amekuwa akisoma comments zao, T.I. ameonekana kutofurahishwa na kauli hizo za kipuuzi na ameamua kumtolea uvivu mmoja wao aliyemtelea habari hizo za Ebola.

B0VimJYIEAAzAn3

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents