Mshambuliaji wa klabu ya Simba SC Fredrick Blagnon ambaye ni raia wa Ivory Coast hajaonekana uwanjani kwa muda mrefu kutokana na kusumbuliwa na majeruha ya muda mrefu.
Klabu ya Simba kupitia mtandao wao wa instagram umetoa taarifa kuwa mchezaji huyo wamempeleka kwa mkopo wa (miezi 6) nchini Oman Club ya nchini Muscut.