Burudani

Staa wa filamu za James Bond apiga teke fuko la hela

Muigizaji raia wa Uingereza, Daniel Craig ayelikuwa akicheza filamu za James Bond amekataa ofa ya £68 milioni kutoka kwenye kampuni ya MGM Studio iliyomtaka acheze filamu mbili za 007.

craig_2875168a

Taarifa zinasema kuwa kwa sasa Tom Hiddleston ndiye anategemewa kuwa James Bond anayefuata baada ya Daniel Craig (48) kupiga chini ofa hiyo.

Mpaka sasa Daniel Craig ameshacheza filamu nne ndani ya miaka 11 na amefanikiwa kuingiza kiasi cha £38 milioni na kumzidi mwigizaji wa mwanzo aliyekuwa anacheza filamu hizo, Pierce Brosnan.

Aidha mtu wa karibu wa Daniel Craig amesema, “He had told people after shooting that this would be his final outing, but the film company still felt he could come around after Spectre if he was offered a money deal.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents