Burudani

Soundcity yaiweka ‘Alikiba Day’ maalum kwa Kiba

Pale kituo maarufu cha TV cha burudani nchini Nigeria kinapoamua kutenga siku maalum kwaajili ya Alikiba, ni dalili kuwa muimbaji huyo wa Aje amekinukisha mbayaa.

13258935_499902356886644_1938126692_n

Soundcity imeanzisha #AlikibaDay kwa heshima ya Alikiba ambapo neno hilo linaonekana kwenye screen ya TV kwa siku nzima.

13116579_1596499930679359_288692801_n

“We still counting down Major Announcements #4 : Exclusive ALIKIBA Day @SoundCityafrica Thank you @SoundCity kwa kumpa heshima hio ya kwanza kwenu kwa kudedicate channel yenu siku nzima kwa @officialalikiba Watanzania wenzetu wamefurahi sana ???????? #KingSoundCity #Rockstar4000 #SonyMusicAfrica #TheCountDownContinues,” ameandika meneja wake, Seven Mosha kwenye Instagram.

Wiki hii Alikiba ametengeneza vichwa vya habari Afrika nzima baada ya kusainishwa deal la kimataifa na label ya Sony Music. Pamoja na kusaini deal hilo, Kiba pia ameteuliwa kwenye kampeni ya Food Revolution ya taasisi ya Jamie Oliver Food Foundation.

Kupitia Instagram, Alikiba aliandika: Major Worldwide Announcement #3: I’m joining global master celebrity Chef Jamie Oliver and have partnered for an initiative I am very passionate and proud to be associated with. Proud to support Jamie Oliver and to come on board as a Global Champion and Global Ambassador for #FoodRevolution!”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents