Burudani

Sony Music yamsaini msanii mwingine wa Afrika baada ya Alikiba

Baada ya kuwasaini Davido na Alikiba, record label kongwe duniani, Sony Music imemsaini msanii wa Afrika Kusini, Mobi Dixon.

Mobi-Dixon

Mobi Dixon anakuwa msanii wa tatu kutoka Afrika kusainiwa kwenye label hiyo.

Moby-Dixon-600x600

Sony Music walitangaza kupitia ukurasa wao wa Facebook kuhusu usajili wao huo mpya.

“Join us in giving a soulful House welcome to the legendary Mobi Dixon, who has joined the SME Africa family under our HOUSE AFRIKA house music label!” Waliandika

Tazama video ya msanii huyo

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents