Burudani

Soko la Gigy Money lahamia kwa wasanii wachanga

Video Queen Gigy Money amesema kwa sasa wasanii wachanga wanamgombania kutaka atokelezee kwenye video zao.
hhh

Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy Money amedai wasanii hao wanaamini akitokelezea kwenye video zao na wao watakuwa wametoboa.

“Kusema kweli sasa hivi underground wananisumbua sana,” alisema Gigy Money. “Wengi wanaamini nikishiriki kwenye video zao ‘nitawakikisha’ na watatoboa. Lakini nashukuru yote ya yote ni biashara wakija ni milioni moja nashiriki kwenye kwenye video kwa sababu ni wengi na bado kwa bei hiyo kuna baadhi wao nawachinjia baharini kwa sababu siwezi kutokea kwenye kila video,”

Pia Gigy alidai kwa sasa yeye ndiye video queen ambaye anafanya kazi nyingi za kulipwa nchini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents