Michezo

Shirikisho la soka nchini Kenya (FKF) lapata Rais mpya

Shirikisho la soka nchini Kenya (FKF) limefanya uchaguzi wake mkuu na kupata Rais mpya ambaye alikuwa mwenyekiti wa klabu ya Kariobangi Sharks inayocheza ligi ya daraja ya chini nchini Kenya Nicholas Mwendwa.

160210154236_nicholas_mwendwa_fkf_512x288_bbc

Mwendwa amechaguliwa kwenye uchaguzi wa taifa wa shirikisho hilo ambao ulifanyika Kasarani, Nairobi. Aliungwa mkono na wajumbe 50 kati ya wajumbe wote 77 na kuwashinda Bw Ambrose Rachier na Ssemi Aina.

Aliyekuwa rais kwa miaka minne, Sam Nyamweya, alijiondoa kutoka kwenye uchaguzi muda mfupi kabla ya kura kupigwa.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents