Burudani
Shetta kuzindua na Dar Stamina
Katika tamasha linalofanyika siku ya Jumapili pale Bilicanas, mwanamuziki Amini Mwinyimku ambaye atakuwa kwenye mwaliko wa stesheni ya ABC ya Afrika Kusini inayomilikiwa na Wamarekani katika mahojiano ya kipindi cha Good Morning.
Anasema baada ya kurudi huko, atajipanga kwaajiri ya kufanya ‘show’ pamoja na Linah ilikuleta hamasha zaidi kwa mashabiki wake, ambao watamkosa siku ya jumapili hii.
Lakini katika tamasha hilo, atakuwepo Shetta na kundi zima la Dar Stamina.