Habari
Photos: Mazishi ya Sharomilionea nyumbani kwao Tanga
Marehemu Msanii Husseini Ramadhani ambaye anajulikana zaidi kama Sharomilionea amezikwa leo mchana majira ya saa saba kijijini kwao Lusanga, Handeni katika wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
Mamia ya watu walijazana katika eneo la nyumbani kwao wakiongozwa na ndugu jamaa, marafiki, wasanii wa fani mbali mbali na viongozi wa chama na serikali waliowasili eneo hilo tangu jana asubuhi.
Bongo5.com ilikuwepo katika eneo la tukio na sasa inakupa fursa ya kuangalia picha ya kilichojiri.
Mamia ya watu walijazana katika eneo la nyumbani kwao wakiongozwa na ndugu jamaa, marafiki, wasanii wa fani mbali mbali na viongozi wa chama na serikali waliowasili eneo hilo tangu jana asubuhi.
Bongo5.com ilikuwepo katika eneo la tukio na sasa inakupa fursa ya kuangalia picha ya kilichojiri.