Burudani
Shakira na Gerard Piqué wanatarajia kupata mtoto wa pili
Shakira ni mjamzito wa mtoto wake wa pili.
Muimbaji huyo mwenye miaka 37 na mume wake Gerard Piqué mchezaji wa Barcelona, tayari wana mtoto wa miezi 19 aitwaye Milan na wanadaiwa kuwa na furaha kubwa kupata mtoto mwingine anayetarajiwa kuzaliwa baadaye mwaka huu.
Muimbaji wa Columbia, Carlos Vives, ambaye ni rafiki wa karibu wa Shakira, ameiambia Fox News Latino: “Yes, she is pregnant and she’s very happy.”
Hata hivyo Shakira na Pique bado hawajatangaza habari hiyo njema.