Michezo

Schneiderlin atua rasmi Everton

Kiungo Morgan Schneiderlin hatimaye amejiunga na klabu ya Everton, akitokea Man United kwa ada ya paundi milioni 20 ambayo itapanda hadi paundi milioni 24.

Mfaransa huyo ambaye ana umri wa miaka 27, amesaini mkataba wa miaka minne na nusu ambao utamalizika mwaka 2021, Schneiderlin ameungana na kocha wake wa zamani Ronald Koeman.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents