Burudani

Saraha kuingia kwenye mashindano makubwa ya Sweden kutangaza muziki wa Kiswahili

Muimbaji wa nchini Sweden, Saraha aliyewahi kuishi Tanzania kwa miaka kadhaa anatarajia kushiriki kwenye mashindano makubwa nchini kwao.

12112294_1063332740373095_3752104676713538479_n

Amesema kupitia mashindano hayo, atautangaza muziki wa Kiswahili.

Kupitia Facebook, Saraha ameandika, “Tarehe 20 natoa wimbo wangu mpya – Kizunguzungu! Nitaingia mashindano maarufu na makubwa ya muziki nchini Sweden! Nimepata nafasi kubwa ya kutangaza mziki wangu na mziki ya Kiswahili.”

Saraha alirudi Sweden baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake, Fundi Samweli.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents