Burudani

Ray C Foundation yaandaa kipindi cha TV ‘Pamoja Inawezekana’ kitaelimisha jamii juu ya madawa ya kulevya

Msanii wa muziki Rehema Chalamila ‘Ray C’, kupitia Ray C Foundation ameanza kuandaa kipindi chake cha TV ‘Pamoja Inawezekana” ili kuendelea na jitiada za kuendeleza kuelimisha jamii juu ya madawa ya kulevya.
k (2)
Ray C akiwa na JB katika maandalizi ya kipindi kipya cha ‘Pamoja Inawezekana’

Ray C kupitia instagram yake amesema:Preparing my TV programme Pamoja Inawezekana,Ray C foundation inawaletea kipindi cha pamoja inawezekana,stay tuned people more to come.

Kipindi maalum cha ‘Pamoja Inawezekana’ kitakujia hivi karibuni,makubwa mengi yatakuja kupitia Taasisi yetu,kwa walio mikoani tupigie 0658009715 au barua pepe [email protected],itakuwa na mambo mbalimbali yanayohusu matatizo au athari za madawa ya kulevya,tutawatangazia hivi karibuni.Ewe ndugu jamaa rafiki anaesumbuliwa na madawa ya kulevya usisite kuwasiliana na sisi tutakusaidia kwa hali na mali”Alisema Ray C

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents