Michezo

Rashford aweka rekodi ya kuwa Mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga katika mechi yake ya Kwanza katika Timu ya Taifa ya England

Mchezaji wa klabu ya Man United Marcus Rashford ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga katika mechi yake ya Kwanza katika Timu ya Taifa ya England (Ana Miaka 18 na Siku 208).

article-3613345-34B433EB00000578-611_964x386

34B3C23900000578-3613345-image-a-8_1464377373392

Rashford alifunga goli katika dakika 3′ baadaye katika dakika 55 Rooney alifunga goli la pili na mechi hiyo ya kilafiki iliyo chezwa usiku wa May 27 iliisha kwa England 2 – 1 Australia.

34B3B2C000000578-3613345-image-a-2_1464377175294

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents